Ads 468x60px

Labels

Tags

Nature

Comments

Custom Widget

Main Slider

Recent in Sports

Recent

Featured Posts

Monday 2 February 2015

FAHAMU MADHARA YA UTAPIAMLO KWA WATOTO.



      Utapiamlo ni ugonjwa unaoathiri kukua kwa mwili na akili ya mtoto. Idadi ya watoto wanaopata ugonjwa huo hapa nchini inakadiriwa kuwa asilimia 42 huku ikiwa inahofiwa kuongezeka ambapo mara nyingi huwapata watoto wenye umri chini ya miaka 18. 

Kwa nini ni vigumu sana kushinda tatizo hilo? Ili kupata jibu, ni vyema kuujuwa kwanza ugonjwa wa utapiamlo, na kuchunguza athari na visababishi vilivyotia mizizi vya ugonjwa huo.

UTAPIAMLO HUSABABISHWA NA NINI?
Utapiamlo husababishwa na ukosefu wa vitamini na madini ya kutosha katika chembe za mwili, na kwa kawaida husababishwa na mambo mawili:

Friday 30 January 2015

ELIMU YA AFYA YA UZAZI YAFUNDISHWA KWA SHULE ZA MSINGI - KAHAMA


Mada zinazofundishwa mashuleni na Shirika la REICHET Foundation ni pamoja na:
  • Changamoto kuu za vijana
  • Muundo wa mwili wa binadamu
  • Mfumo wa uzazi
  • Balehe
  • Matatizo ya mfumo wa uzazi
  • Matatizo yenye uhusiano na jinsia
  • HIV na UKIMWI
  • Vishawishi vya ngono 
  • Mchango wa wazazi katika kuzuia ngono
  • Stadi za maisha kwa vijana
  • Namna ya kusoma na kujisomea

Pamoja na changamoto zinawakabili  vijana hawa, lakini wanaonekana kuwa na shauku ya kujifunza, ni wanafunzi wa shule

Tuesday 27 January 2015

SHIRIKA LA REICHET FOUNDATION LINATOA MAFUNZO YA ELIMU YA AFYA YA UZAZI NA UJINSIA

 Katika picha, aliye simama ni mtaalamu wa Elimu ya Afya ya Uzazi kutoka Shirika la REICHET Foundation akitoa elumu hiyo kwa wanafunzi wa darasa sita shule ya msingi Busalala iliyoko wilayani Kahama. Picha na Jovit Novath.

Monday 26 January 2015

Vijana hawa wana ndoto na malengo kwa ajili ya maisha yao ya baadaye, Lakini wasipojifunza vyema elimu ya afya ya uzazi na ujinsia malengo yao hayatatimia.

Friday 24 October 2014

REICHET FOUNDATION INATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI, LENGO MAHSUSI KATIKA MKAKATI HUU NI KUWAWEZESHA VIJANA ILI WAWEZE KUSHIRIKI MIJADALA,KUCHANGIA MAONI NA KUWAONGEZEA UWEZO WA KUAMUA WAO DHIDI YA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI.

HAWA NI WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KATIKA SHULE YA MSINGI BULIGE ILIYOKO KATIKA WILAYA MSALALA MKOANI SHINYANGA, WALIPOTEMBELEWA NA MAAFISA KUTOKA REICHET FOUNDATION. WANAFUNZI WA DARASA LA SITA WAKIFURAHIA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA REICHET FOUNDATION.
WANAFUNZI WA DARASA LA TANO KATIKA SHULE YA MSINGI BULIGE A WAKIWA NA
AFISA MRADI WA REICHET FOUNDATION MR. JOVITH NOVATH BAADHI YA WANAFUNZI WA DARASA LA SITA KATIKA SHULE YA MSINGI BULIGE A, WAKATI WA KIPINDI CHA ELIMU YA AFYA NA UKIMWI KINACHOTOLEWA NA

 

Total Pageviews

Blog Archive